Polisi Buguruni hatarini
Polisi wa Kituo cha Buguruni jijini Dar wako hatarini baada ya kufungiwa huduna za kijamii kituoni hapo na aliyekuwa kigogo mmoja wa ngazi ya juu wa kanda maalum bila kufuata utaratibu.
Wakizungumza na mwandishi wetu wiki iliyopita baadhi…
