Ndevu za Prince Harry Zashutumiwa Kwenye Hafla Ya Kijeshi
PRINCE Harry ambaye ni mtoto wa Prince Charles na mjukuu wa Malkia Elizabeth wa Uingereza, yuko katika misukosuko kwa kuvunja sheria za kijeshi kwa kufanya jukumu la kijeshi akiwa na ndevu na akiwa amevaa kijeshi.
…
