Prisons Wapo Tayari Kuwakabili Simba
LIGI Kuu ya NBC Tanzania Bara, inatarajiwa kuendelea jioni ya leo Alhamasi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam ambapo wenyeji Simba watapambana na Tanzania Prisons.
Timu hizo zinakutana huku zote zikiwa zimetoka kupoteza…
