Huu ni Mwezi wa Kusamehewa Dhambi
SIFA zote njema anastahiki Mola Azzawajalla, mwenye kuneemesha neema kubwakubwa na nyingine ndogondogo. Sala na salamu zimuendee Mtume wetu Muhammad, rahmatan lil ‘alamiyn, maswahaba wake wa tangu wema hadi siku ya Kiyaamah.…
