Yanga Yaifunga Kagera Sugar Bao 2-1 Kaitaba
TIMU ya Yanga wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Kagera Sugar leo katika Uwanja wa Kaitaba, Bukoba. Mabao kwa upande wa Yanga yamefungwa na Heritier Makambo dakika ya 21 kipindi cha kwanza na Raphael Daudi dakika ya 74…
