Kukosa Penati! Bukayo, Rasford, Sancho Wakumbana na Ubaguzi wa Rangi
BUKAYO Saka, nyota wa timu ya taifa ya England baada ya kukosa penalti kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Italia ya Euro 2020 amekuwa akiandamwa na mashabiki kwenye mitandao ya kijamii ambao wanaonyesha kila dalili za ubaguzi wa rangi.…
