Rayuu airudisha ndoa yake
Na Hamida Hassan
Msanii wa Filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ ameirudisha ndoa yake iliyodaiwa kuvunjika siku chache baada ya kuolewa na mwanaume aliyefahamika kwa jina la Ahmedi Said.
Sosi aliyetoa habari hii alidai kuwa msanii huyo…
