Mbio za Marathon Jumuiya ya Madola Kurindima Asubuhi Hii Birmingham, Simbu Yumo
TANZANIA leo inatupa kete za kwanza katika riadha Michezo ya Jumuiya ya Madola wakati wanariadha wanne wa mbio ndefu (Marathon) wanawake na wanaume wakichuana asubuhi hii.
Wanariadha hao wa marathon ni Alphonce Simbu,…
