Breaking: Katibu Tawala wa Arusha Afariki Ajalini
KATIBU tawala Mkoa wa Arusha, Richard Kwitega amefariki katika ajali ya gari leo Jumatano Februari 3, 2021 wakati akitoka mkoani humo kwenda Dodoma baada ya gari alilokuwa amepanda kugongana na basi.
Akizungumza Mkuu wa…
