The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Ridhiwani

Ridhiwani alivyomvaa Dk Kigwangalla

MBUNGE wa Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete amemvaa Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamis Kigwangala akimwambia kwamba bado hajafanya kazi yake vilivyo katika kutangaza vivutio vya utalii nchini. Ridhiwani aliyasema hayo jana katika…

Mbunge Awapa Yanga Ushindi

MWANACHAMA na mpenzi wa klabu ya Yanga ambaye pia ni Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete, amesema kuwa haoni sababu zozote zitakazowazuia Yanga kukosa ushindi kwenye mechi dhidi ya Simba. Yanga na Simba zinavaana Jumpili…

Ridhiwani, Makonda waibua mapya!

Na Mwandishi Wetu BODI ya filamu inayosimamia sinema zote kabla ya kuingia sokoni, imewabana wasanii wapya waliotarajia kuachia sinema iitwayo Paulo na Sila kwa kuwataka wabadilishe baadhi ya vipengele vilivyotoka nje ya maadili. Dairekta…