Picha Chafu Zampeleka Rooney Polisi
Mchezaji wa zamani wa England, Wayne Rooney ameripoti polisi baada ya kupigwa picha za faraga na watu wasiojulikana, wamesema mawakili wake.
Picha ambazo zilisambazwa sana kwenye mitandao ya kijamii, zinamuonesha Bw Rooney…
