Barnaba Adai Ruge Mutahaba Alimlea, Asimulia Safari Yake ya Muziki Hadi Hapo Alipofikia
MSANII wa Bongo Fleva, Barnaba Classic amesema mtu aliyemlea katika Sanaa ya muziki na kumfanya kuwa staa ni aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media, marehemu Ruge Mutahaba.
Barnaba amesema hayo usiku…
