Breaking News: Rugemalira, Kigogo IPTL Wasomewa Mashtaka 6 Kisutu, Wasweka Rumande
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imewafikisha mahakamani, mmiliki kampuni ya PAP, Habirnder Seth Singh na mfanyabiashara James Rugemalira kwa makosa ya uhujumu uchumi.
Akizungumza na waandishi wa…
