Askari Anayedaiwa Kupokea Rushwa Akamatwa
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa mkoani Iringa imethibitisha kumkamata askari wa usalama barabarani kwa kosa la kupokea rushwa kwenye mabasi maeneo ya Ipogolo manispaa ya Iringa Januari 18, 2022.
Akizungumza na Waandishi wa…
