Askofu Ruwai’chi: Naagiza Mapadri Wote Dar Lazima Mkachanjwe, Tuache Utoto
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Yuda Tadheus Ruwai’chi amewaagiza mapadre wote wa jimbo hilo kupata chanjo ya ugonjwa wa Corona .
Askofu Ruwa’ichi ametoa wito huo leo Jumanne, tarehe 24 Agosti 2021,…
