Sabby Ajitosa Kupima ‘Ngoma’
MSANII wa filamu Bongo Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ ameamua kujitosa kupima Ukimwi ‘ngoma’ ili kuwa na amani ya moyo na kusema kuwa wasanii wengi hawapendi kupima kwa kuhofia kona wanazopita huenda hawako salama.
Akipiga stori na…
