Said Ndemla yamkuta Simba
KIUNGO mwenye zali la kupendwa na mashabiki wa Simba, Said Ndemla anadodea benchi. Amekata tamaa ya kuvaa uzi wa kikosi cha kwanza msimu huu.
Rekodi zinaonyesha kuwa Ndemla mara ya mwisho kupata nafasi ya kuanza katika…
