Kiungo Mshambuliaji wa Simba Atajwa Coastal Union
KIUNGO Mshambuliaji wa Simba, Mrundi, Saidi Ntibazokiza 'Saido' anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Coastal Union ya Tanga.
Nyota huyo akiwa na kikosi cha Simba msimu wa 2023/24 ni mabao 11 alifunga akiwa namba moja kwenye chati…
