The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

SAKHO

Sakho, Banda Wampa Jeuri Pablo Simba

 KUREJEA kwa Pape Ousmane Sakho ambaye aliumia katika mchezo dhidi ya ASEC Mimosas na kuimarika kwa kiwango cha winga Peter Banda, kumempa kiburi Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco kufanya vizuri katika mchezo wa leo Jumapili dhidi ya Union…

Hatma ya Sakho, Wawa leo Simba SC

HATMA ya kiungo mshambuliaji, Ousmane Sakho na beki Pascal Wawa na wenzao watatu itajulikana leo, ya kuendelea au kubakia kukipiga Msimbazi. Wachezaji hao ndiyo wanaotajwa kuachwa katika usajili wa dirisha dogo kwa ajili ya kupata…

Sakho Aandaliwa Kuwavaa Wabotswana

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Pape Ousmane Sakho, amepewa programu maalum na benchi la ufundi la timu hiyo, ili kuhakikisha anakuwa fiti mapema kwa ajili ya michezo ijayo hususani wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy ya…

Sakho Afunika Balaa Simba SC

KIUNGO mshambuliaji mpya wa Simba, Pape Ousmane Sakho ambaye amerithi jezi namba 17 iliyokuwa ikivaliwa na kiungo fundi Mzambia, Clatous Chama ndiye mchezaji aliyefunika zaidi kwa kuwa na takwimu bora katika kipindi cha wiki tano za…

Gomes Ampa Sakho DK 270 tu Simba SC

KOCHA Mkuu wa Simba, Mfaransa, Didier Gomes, ameomba mastaa wake awapime kwa kucheza mechi tatu za kirafiki ambazo ni sawa na dakika 270 kabla ya kukutana na TP Mazembe ya DR Congo. Simba kwa sasa ipo Arusha katika kambi ya kujiandaa…

Huyu Sakho Ataua Mtu Mjue

UWEZO mkubwa ambao amekuwa akiuonyesha kiungo mshambuliaji mpya wa Simba Msenegali, Pape Ousmane Sakho umewaibua makocha wa timu hiyo ambao wameweka wazi wanajivunia usajili wa nyota huyo, huku kocha Mkuu Didier Gomes akikitabiria…