×

Tag: SALAMBA

Straika Simba asaini Sauz

MSHAMBULIAJI wa Simba, Adam Salamba ametua rasmi katika kikosi cha TS Sporting ya Afrika Kusini ‘Sauz’ kwa mkopo wa mwaka...

READ MORE

Polokwane wamuomba Salamba

KLABU ya Polokwane ya Afrika Kusini imekubali yaishe kwa mshambuliaji wa Simba, John Bocco na kumuomba kwa mkopo Adam Salamba...

READ MORE

Namungo Yampigia Hesabu Salamba

IMEBAINIKA kuwa nyota wa Simba, Adam Salamba amekuwa akiwindwa na klabu ya Namungo FC ambayo imepanda daraja pamoja na timu...

READ MORE

Salamba Atoa Msimamo Simba

MSHAMBULIAJI wa Simba, Adam Salamba atabakia klabuni hapo kwa msimu ujao endapo kocha wake Patrick Aussems atamhitaji. Ingawa kwa hali...

READ MORE

SALAMBA AFUNGUKA KUOMBA VIATU VYA EVER BANEGA

MSHAMBULIAJI wa Simba, Adam Salamba ameomba radhi kwa kitendo cha kuomba viatu kwa staa wa Sevilla, Éver Banega na kudai...

READ MORE

Wazungu waondoka na mafaili ya Salamba

TIMU tatu kutoka barani Ulaya ambazo zimeonyesha nia ya kutaka kumsaini mshambuliaji wa Simba, Adam Salamba, tayari zimepewa ‘makabrasha’ ya...

READ MORE

Simba kumuuza Salamba Ubelgiji

MSHAMBULIAJI wa Simba, Adam Salamba, yupo mbioni kutimkia kwenye Klabu ya Royal Sporting Club Anderlecht inayoshiriki Ligi Kuu ya Ubelgiji....

READ MORE

Gari la Salamba Lapata Ajali

  MSHAMBULIAJI wa Simba, Adam Salamba aliyejiunga na timu hiyo hivi karibuni akitokea Lipuli FC ya mkoani Iringa amekumbana na...

READ MORE

Salamba: Kagere Atazima Ndoto Zangu

MABAO mawili aliyofunga mshambuliaji mpya wa Simba, Meddie Kagere kwenye michuano ya Kombe la Kagame yamemtisha straika wa timu hiyo,...

READ MORE

Simba Hatari! Yawatungua Wasomali 4G

TIMU ya Msimbazi, Simba SC wameanza vema safari ya kupigania ubingwa wa michuano ya Kagame baada ya kuitandika bao 4-0...

READ MORE

BREAKING NEWS: SALAMBA ASAINI SIMBA SC

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Lipuli FC ya Iringa, Adam Salamba amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Klabu ya Simba kwa...

READ MORE

SALAMBA ATUA SIMBA, NI BAADA YA KUWAZIDI KETE YANGA, AZAM

MSHAMBULIAJI wa Lipuli FC ya Iringa, Adam Salamba, ana asilimia kubwa ya kuichezea Simba kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu...

READ MORE