Siri Yabainika Chanzo Ajali ya Mgombea Mwenza Chadema
GARI lililowabeba baadhi ya maofisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kupata ajali katika eneo la Msoka, Kata ya Ngogwa, iliyopo kwenye Jimbo la Msalala, Shinyanga ni kupasuka kwa matairi mawili ya gari.
…
