Samatta Aomba Radhi Kuvaa Barakoa – Video
Mchezaji wa Klabu ya Aston Villa na timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars, Mbwana Ali Samatta amewaomba radhi Watanzania kwa kuingia kwenye ukumbi wa mkutano na wanahabari huku akiwa amevaa Barakoa kujikinga na Corona wakati watu…
