Samatta aanza kazi rasmi
Mbwana Samatta.
Omary Mdose,Dar es Salaam
KWA mara ya kwanza straika, Mbwana Samatta, juzi Jumamosi aliandika historia ya kuwa Mtanzania wa kwanza kucheza ligi kuu Ulaya, baada ya kuiongoza timu yake ya Genk kuibuka na ushindi wa bao…
