The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Sanchi

Sanchi, Kiba Mambo ni Moto!

WAKATI wa Mungu kukujaalia mema ukifika, hakuna awezaye kuzuia! Ndivyo wanavyoamini baadhi ya wafuasi wa mwanamitindo maarufu Bongo, Janey Rimoy ambaye baada ya kubadili dini kutoka Ukristo na kuwa Muislam, sasa anaitwa Surraiya Rimoy…

Sanchi Abadili Dini

Mwanadada mwenye figa matata Bongo, Janey Rimoy maarufu mtandaoni kwa jina la Sanchi au Sanchoka amerejea katika vichwa vya habari, safari hii ikiwa ni kutokana na hatua yake ya kuamua kubadili dini na kuwa Muislamu. Sanchi…

Sanchi apigwa stop nguo za kubana

D AKTARI wa mwanamitindo mwenye umbo matata Bongo, Jane Rimoy ‘ Sanchi’ amempiga stop mrembo huyo kuvaa nguo za kubana kwa kipindi hiki ambacho amepandikiza mbegu kwa ajili ya kupata watoto mapacha.  Akizungumza na Risasi Mchanganyiko,…

Waliomchafua Sanchi Watakufa

BAADA ya picha zake chafu kuzagaa mitandaoni, mrembo ambaye ni mwanamitindo ndani na nje ya nchi, Jane Rimoy ‘Sanchi’, ameibuka na kueleza kuwa waliosambaza watakufa kinywa wazi. Akizungumza na Over Ze Weekend, Sanchi alisema…

Sanchi kupandikiza pacha mwezi ujao

MREMBO mwenye umbo mtikisiko, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amesema mwezi ujao ndio anatarajia kwenda kupandikiza pacha watatu nchini Afrika Kusini.  Akichonga na Za Motomoto News, Sanchi alisema kwa muda mrefu alikuwa na ndoto ya kufanya hivyo…

Mama wa Sanchi Wala Hamaindi

WAKATI mwanaye akizua mjadala kama wote mtandaoni kuwa anakaa nusu utupu kutokana na vivazi vyake, mama mzazi wa modo mwenye shepu yake Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ wala hamaindi kama kuna tatizo kwa mwanaye. Sanchi ameliambia…

SANCHI ANAANGALIA MAHABA ZAIDI

Modo mwenye jina kubwa ndani na nje ya Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ ameweka wazi kuwa, mwanaume ambaye atamuoa haangalii anatoa mahari kiasi gani, bali anaangalia mahaba yake. Akizungumza na Gazeti la Ijumaa Wikienda, Sanchi alisema wengi…

POSHY SILAZIMISHI SANCHI KUNIFAHAMU

Mrembo ambaye jina lake limekuwa kubwa mjini kutokana na umbo lake tata, Jacqueline Obeid ‘Poshy’ amemfungukia mrembo mwenzake, Jane Rimoy ‘Sanchi’ na kusema hamlazimishi kumfahamu. Akizungumza na Ijumaa, Poshy alisema kuwa kama mtu…

SANCHI hana kovu la kiwembe

KWELI? Mrembo ambaye jina lake limesimama kutokana na umbo lake matata, Jane Rimoy ‘Sanchi’ hivi karibuni alionekana akijiachia huku akiwa amevaa nguo za kuogelea huko visiwani Zanzibar na kufuta ule uvumi kwamba alichanwa viwembe.…

SANCHI AFUNGUKIA KUKODI NDEGE

BAADA ya kusemekana kukodi ndege binafsi akitokea Dar kuelekea mkoani Iringa, mwanamitindo maarufu Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa hajawahi kukodi ndege zaidi ya kupanda kama abiria wengine.   Akizungumza na Za…

KIBOKO YA SANCHI AIBUKA, AONYWA

DAR: Kama ulikuwa bado unaamini kuwa mrembo mwenye figa matata pekee Bongo ni Sanchi, basi fahamu kuwa unakosea kuna mwingine anaitwa Scollah Wawuda ‘Binti Salim’ ambaye ameibuka kwenye tasnia ya uigizaji na kutikisa lakini hata hivyo…

Siri ya Mahaba ya Sanchi na Mbwa!

JANE Rimoy ‘Sanchi’ ni mmoja wa wanamitindo Bongo ambao wameweza kujizolea umaarufu mkubwa kutokana na jinsi wanavyojiweka. Ni mdada aliyejipatia umaarufu kutokana na umbile lake na jinsi ambavyo amekuwa akipenda kupiga picha zake za…

MFUNGO WAMBADILI SANCHI!

MFUNGO wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani umeonekana kumbadili mwanamitindo Jane Rimoy ‘Sanch’ kutoka kwenye kuvaa mavazi ya kihasarahasara ambayo amekuwa akiyavaa na sasa kutinga mavazi ya heshima kwa kuvaa mabaibui kuendana na wanaofunga.…

SANCHI: BONGO WATANISUBILI SANA

MWANAMITINDO mwenye umbo matata Bongo, Jane Ramoy ‘Sanchi’ amesema kuwa kwa sasa Wabongo watamsubiri sana kwani hana mpango wa kurejea nchini hivi karibuni. Akizungumza na Over Ze Weekend, Sachi ambaye yuko nchini Nigeria kwa kipindi…

Mwanaume wa Sanchi Huyu Hapa

MWANAMITINDO mwenye umbo matata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ ametaja vigezo vya mwanaume ambaye angependa kuwa mume wake. Akizungumza na gazeti hili, Sanchi alisema kuwa anapenda sana mwanaume mwenye muonekano wa kimazoezi na pia mwenye…