Taifa Stars yaivaa Zambia Kwa Tahadhari -Kikosi Kipo Hapa
TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, leo Jumanne 19, 2021 itaikabili Zambia katika mchezo wa kwanza wa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), huku ikiwa na matumaini kibao ya kuibuka na ushindi.…
