×

Tag: simbachawene

Simbachawene: Takukuru Zuieni Rushwa Kabla Haijatokea

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amewataka Wahitimu wa Mafunzo...

READ MORE

Simbachawene Aagiza Polisi Kumhoji Askofu Mwingira – Video

WAZIRI wa Mambo ya Ndani George Simbachawene, amemtaka Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, kumtafuta...

READ MORE

Simbachawene Aipongeza LSF Kuzindua Mpango Mkakati Mpya 2022/2026

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema Mpango wa Miaka mitano wa Shirika la Huduma za Msaada...

READ MORE

Simbachawene: Magereza ya Tanzania Yanaendeshwa Kikoloni

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene amesema Magereza ya Tanzania yana viashiria vya ukoloni na kwamba kuna safari ndefu...

READ MORE

Simbachawene: Kitambulisho cha Nida Hakihalalishi Kuwa Raia wa Tanzania

Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, amesema kuwa na kitambulisho cha Utaifa (NIDA) hakuhalalishi Mtu kuwa Raia wa #Tanzania....

READ MORE

Madereva 10 wa Mabasi Kikaangoni – Video

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene ameagiza Jeshi la Polisi nchini kuwanyang’anya leseni madereva 10 wa mabasi yanayofanya safari...

READ MORE

Simbachawene Atoa Siku 30 Kwa Jeshi la Magereza

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ametoa siku 30 kwa Jeshi la Magereza kuhakikisha Gereza jipya la...

READ MORE

Rais Magufuli Ampa Siku 7 Waziri Simbachawene – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, amempa siku saba Waziri wa Mambo ya Ndani George Simbachawene,...

READ MORE

Simbachawene Avionya Vyombo vya Habari vya Kenya

BALOZI  wa Tanzania nchini Kenya Dkt. John Simbachawene, amevitaka vyombo vya habari vya nchini Kenya kuripoti taarifa zenye uhakika kuhusu...

READ MORE

Simbachawene: Nitawafagia Askari Hawa!

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema askari watakaoshindwa kuwabaini wahamiaji haramu hususani maeneo ya mipakani wanapoingilia...

READ MORE

Simbachawene Ampa Sirro Siku 7 Kushughulikia Bajeti ya Mbwa – Video

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amempa siku saba Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, (IGP)...

READ MORE

Simbachawene Aagiza Polisi Kuwadhibiti Wanasiasa Watakaoleta Vurugu Uchaguzi

   WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amevionya vyama vya siasa nchini ambavyo vina wagombea katika ngazi...

READ MORE

Simbachawene: Polisi Wajipange Vyema Uchaguzi Mkuu

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene,  amelitaka Jeshi la Polisi kudhibiti vurugu zozote au uvunjifu wa sheria...

READ MORE

Vifo vya Watu 3, Simbachawene Amtia Mhandisi Ndani – Video

WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene ameliagiza Jeshi la Polisi kumkamata na kumtia ndani Mhandisi wa Kampuni...

READ MORE

Simbachawene: Polisi Ihoji, Iwatambue Waliombambikiziwa Kesi

WAZIRI  wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amewataka watendaji akuu wa Jeshi la Polisi wawahoji watuhumiwa waliopo katika...

READ MORE

Lugola Amkabidhi Ofisi Simbachawene – Video

ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola ambaye ni Mbunge wa Mwibara kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

READ MORE

Simbachawene, Kalemani Kupamba Maonesho Ya Nishati Jadidifu

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), George Simbachawene na Waziri wa Nishati, Dk Medard...

READ MORE

BUNGE LA RIDHIA ITIFAKI YA ZIADA YA NAGOYA – KUALA LUMPUR

Bunge la Tanzania hii leo limeridhia Itifaki ya ziada ya Nagoya – Kuala Lumpur juu ya uwajibikaji wa kisheria na...

READ MORE

BUNGE LA RIDHIA MKATABA WA MINAMATA KUHUSU ZEBAKI

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Simbachawene amesema inakadiriwa kuwa asilimia...

READ MORE

Simbachawene Amvaa MSIGWA “Unatafuta Chuki Tu” – Video

Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema) Mchungaji Peter Msigwa amesema uamuzi wa Serikali kuhamia Dodoma haukuwa sahihi kwasababu si kipaumbele cha...

READ MORE

Kutajwa Sakata la Madini… Waziri Simbachawene, Ngonyani Wajiuzulu

WAZIRI wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene na Naibu Waziri wa Ujenzi,...

READ MORE

Simbachawene Ataka Wamachinga Wapishe Miundombinu ya Mwendo Kasi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), George Simbachawene,  leo amekazia tena agizo alilolitoa jana la kutaka Wamachinga kuondoka kwenye...

READ MORE

Simbachawene Amsimamisha Kazi Mkurugenzi Manispaa ya Dodoma

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mh. George Simbachawene. Waziri wa Nchi...

READ MORE

Mrema Asimamishwa Kazi kwa Urasimu

AMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA  OFISI YA RAIS Anuani ya Simu: “TAMISEMI” Simu Na: (026) 2322848, 2321607 2322853, 2322420 Nukushi: (026) 2322116,...

READ MORE

Afisa Biashara wa Halmashauri ya Dodoma asimamishwa kazi

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA  OFISI YA RAIS Anuani ya Simu “TAMISEMI” DODOMA Simu Na: (026) 2322848, 2321607, 2322853, 2322420,...

READ MORE