The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

SIMBASC

Simba: Tutapindua Meza Kwa Mkapa

KOCHA Mkuu wa Klabu ya Simba, Didier Gomes amesema kuwa bado ana imani kubwa kuwa kikosi chake kinaweza kupindua meza, na kupata ushindi kwenye mchezo wao wa marudiano dhidi ya Kaizer Chiefs na kufanikiwa kutinga Hatua ya Nusu Fainali…

Kocha Simba Atishiwa Bastola Sauz

UNAWEZA kusema siku ya balaa, haina mwenyewe! Ukiachana na Simba kufungwa mabao 4-0 yaliyoishangaza dhidi ya Kaizer Chiefs, kocha wake, Selemani Matola amekutana na dhahama ya kutishiwa bastola, tukio lililotokea nje kidogo ya Jiji la…

Deal Done Zimbwe Aongeza Mkataba Msimbazi

NAHODHA msaidizi wa Simba Mohamed Hussein 'Zimbwe Jr', leo Aprili 28 ameongeza mkataba wa kuendelea kukipiga kwenye timu hiyo. Kupitia ukurasa wa Simba kwenye mtandao wa Instagram wamethibitisha beki huyo kuongeza mkataba. Na…

Simba Yatoa Kipigo cha 5G kwa Mtibwa Sugar

MABINGWA wa Watetezi wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara Simba, wamerudi kwa kishindo kwenye ligi hiyo baada ya kuicharaza Mtibwa Sugar kwa magoli 5-0 katika mchezo uliochezwa leo Aprili 14,   kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es…

Lokosa Apata Dili Norway

IMEELEZWA kuwa, nyota mpya wa Simba, Junior Lokosa, yupo kwenye hesabu za kusajiliwa na timu ya Stromsgodset Toppfotball inayoshiriki Ligi Kuu ya Norway. Raia huyo wa Nigeria akiwa amesaini dili la miezi sita ndani ya Simba…

Mugalu Atoa Kauli ya Kibabe CAF

MFUNGAJI wa bao pekee la Simba katika ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa kwanza hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS Viya, Mkongomani, Chris Mugalu, ameibuka na kutamba kuwa lazima kitaeleweka msimu huu katika michuano…

Rasmi: Chikwende Mali ya Simba

RASMI, Winga Perfect Chikwende raia wa Zimbabwe aliyekuwa anakipiga ndani ya Klabu ya FC Platinum ni mali ya Klabu ya Simba iliyo chini ya Kaimu Kocha Mkuu, Seleman Matola. Simba imemuona nyota huyo raia wa Zimbabwe kwenye mchezo wa…

Simba Waikazia Yanga Dar

KATIKA kuelekea mchezo wao wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Plateau United ya Nigeria, uongozi wa Simba umetangaza kuwa mashabiki 30,000 ndiyo wameruhusiwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuingia uwanjani kushuhudia…