Kocha Mpya Simba Akabidhiwa Kiungo, Viongozi Watia Neno
WAKATI Simba SC ikiwa kwenye mchakato wa kumsaka kocha mpya atakayerithi mikoba ya Pablo Franco, imeelezwa kwamba, ataanza na suala zima la usajili, huku jina la kiungo mkabaji Mnigeria, David Udoh, likiwa mezani likimsubiri.
…
