The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

snura

 Minu Aapa Kumuoa Snura!

MPENZI wa mwanamuziki wa Singeli nchini, Snura Mushi, Minhal Azad ‘Minu’ amesema kuwa, atakuwa mjinga aliyepitiliza kama hatamuoa mpenzi wake huyo kwa sababu ni mwanamke mwenye busara na anafaa kuwa mama wa familia yake. …

Snura Ayapa Kisogo Mapenzi

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi ameibuka na kusema kuwa ameamua kuyapa mapenzi kisogo kwani hayana faida kwake. Akizungumza na Amani, Snura alisema baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Minu kwa sasa yupo…

Snura Apata Ajali ya Gari

MSANII wa Muziki wa Mduara Bongo, Snura Mushi amenusurika katika ajali ya gari mkoani Lindi alikokwenda kufanya shoo. Ajali hiyo ya Snura aliyekuwa ameongozana na anayedaiwa kuwa mpenzi wake, Minu Calypto na madensa wake imetokea…

MINU AMBADILISHA MAVAZI SNURA!

Snura Mushi MSANII wa muziki Bongo, Snura Mushi anadaiwa kubadilishwa kimavazi na mwandani wake wa sasa aitwaye Minu. Mtoa ubuyu mmoja amenyetisha kuwa, Minu amemtaka Snura ajistiri kutokana na umbo lake kuwa na ushawishi…

Snura Ajipanga Kumuanika Laazizi Wake

Na HAMIDA HASSAN| IJUMAA WIKIENDA| FOUR TOWN STORY DAR ES SALAAM: Staa wa mduara Bongo, Snura Mushi ‘Snusexy’ amefunguka kuwa, baada ya ukimya wa muda mrefu na kuzushiwa kila mwanaume, sasa anajipanga kumuanika laazizi wake ili watu…

Kisa Wivu Snura Awatosa Wasanii

Na ALLY KATALAMBULA|GAZETI LA UWAZI|SHOW BIZ MWANADADA mwenye umbo matata anayesumbua kunako Tasnia ya Muziki Bongo na Filamu, Snura Mushi ‘Snura’ amesema kuwa yeye ni mwanamke mwenye wivu sana jambo ambalo limemsababisha mpaka…

Snura: Sitaki Wanangu Wanifuate

Stori: Ally Katalambula | RISASI MCHNGANYIKO | Risasi Vibes STAA wa Muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi amefunguka kuwa licha ya uanamuziki wake, kamwe hawezi kuwaruhusu wanawe wawe wanamuziki kwani havutiwi na changamoto zilizomo.…

Snura Afiwa na Mnenguaji Wake

Na HAMIDA HASSAN| GAZETI LA IJUMAA| STAR MIX PIGO! Mwanamuziki Snura Mushi amepata majanga baada ya kuondokewa na mnenguaji wake aliyefahamika kwa jina la Dotto. Taarifa zilizolifi kia gazeti hili zinaeleza kuwa, Dotto aliyekuwa…