×

Tag: songwe

Jamaa Atafuna Nyama ya Binadamu Mbele ya Polisi, Atiwa Mbaroni

  LAZARO ADAMSON (40) mkazi wa Kaloleni wilayani Songwe, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Songwe kwa kumuua Berta Shugha...

READ MORE

Watu 6 wa Familia Moja Mkoani Songwe Wanasakwa na Polisi kwa Uharibifu wa Mazingira

MKUU wa Mkoa wa Songwe, Omary Mgumba amemuagiza Kamanda wa Jeshi la Polisi kuwatafuta popote pale walipo watu sita (6)...

READ MORE

Watu 5 Wapoteza Maisha kwa Kufukiwa na Kifusi cha Udongo Songwe.

WATU 5 katika familia mbili tofauti wamepoteza maisha kwa kufukiwa na kifusi cha udongo kilichoporomoka kutokana na mvua zilizonyesha usiku...

READ MORE

Madereva wa Daladala Mkoani Songwe Wagoma Kutoa Huduma ya Usafirishaji

Madereva wa Daladala za Tunduma Mpemba Mkoani Songwe wamegoma kutoa huduma ya usafirishaji kwa madai ya Maslahi madogo. Wakizungumza na...

READ MORE

Wawili Mbaroni Kwa Tuhuma za Mauaji Mbozi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumuua kwa kumkata kwa mapanga mtu mmoja aliyefahamika...

READ MORE

Magari 4 Yagongana, Basi la Lateketea na Kuua

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 18 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisaha malori matatu mkoani Songwe. Ajali hiyo iliyotokea...

READ MORE

Polisi Waliofukuzwa Kazi Walikuwa Wakikimbiza Magendo ya Sh 30,000

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amesema tukio la polisi saba waliovuka mpaka na kuingia nchini Malawi...

READ MORE

Songwe: Askari Polisi 7 Wafukuzwa Kazi

JESHI la Polisi Mkoa wa Songwe limewafukuza kazi askari wake saba wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ileje mkoani...

READ MORE

Breaking: Watumishi Watano wa TRA Wafariki kwa Ajali

Watumishi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kikosi kazi cha Fast Track wamefariki kwa ajali katika eneo la Hanseketwa...

READ MORE

UVCCM Songwe Yamwandama Lissu Kila Kona

  Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Songwe umemtaka mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...

READ MORE

UVCCM Songwe Waanza Kusaka Kura Nyumba kwa Nyumba

Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ( UVCCM) Mkoa wa Songwe wamezindua kampeni ya mkoa mzima ya kutafuta kura...

READ MORE

Takukuru Songwe Yaokoa Nyumba ya Mama Mjane

Taasisi ya Kuzuia na Kudhibiti Rushwa mkoani Songwe, (Takukuru) imefanikiwa kumrejesha Mama mjane hati yake ya nyumba iliowekwa rehani kwa...

READ MORE

Kauli za Wafungwa 96 Songwe Walioachiwa Huru – Video

  WAFUNGWA 96 Mkoani Songwe wamekuwa miongoni mwa wafungwa 5,533waliopatiwa msamaha wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt...

READ MORE

JPM: Walisema TANESCO Ubungo Haibomolewi, Nikaibomoa – Video

Rais Dk. John Magufuli leo Oktoba 5, 2019 amezindua ujenzi wa barabara ya Mpemba – Isongole iliyopo katika Halmashauri ya...

READ MORE

JPM Azindua Kiwanda cha Kahawa Songwe, Atoa Kauli – Video

 RAIS John Magufuli leo Oktoba 4, 2019, amezindua kiwanda cha kukoboa kahawa cha kampuni ya GDH kilichopo Mlowo Wilaya...

READ MORE

AJALI YA LORI NA COASTER YAUA 19 SONGWE

WATU 19 wameripotiwa kupoteza maisha katika ajali ya lori lililokuwa na mzigo, lenye namba T 388 CAA baada ya gari...

READ MORE

POLISI WAFUNGUKA KUMSHUSHIA KIPIGO ‘HEVI’ DEREVA WA FUSO

JESHI la Polisi mkoani Songwe limeeleza sababu ya askari wa usalama barabarani kumshambulia dereva kwa kipigo kuwa alitumia lugha ya...

READ MORE

NMB Bank Yazindua Klabu ya kibiashara Mkoani Songwe

BANK ya NMB imezindua rasmi Klabu ya kibiashara maalumu kwa wafanyabiashara wa Tunduma katika wilaya ya Momba Mkoani Songwe.  ...

READ MORE

Breaking News: Moto Umezuka Uwanja wa Ndege wa Songwe Mbeya

Moto mkubwa umezuka katika Uwanja wa Ndege wa Songwe jijini Mbeya leo Julai 29, 2017 majira ya mchana na kuzua...

READ MORE