The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Steve Nyerere

Steve Nyerere: Bora Alikiba!

MSANII maarufu wa Bongo Movie, Steve Nyerere,  amempongeza msanii wa Bongo Fleva, Alikiba, baada ya kuwaombea bajeti wasanii wa Bongo Movies, kwa Rais John Magufuli ya kutengenezwa documentary ya maisha ya Baba wa Taifa Mwl. Julius …

Steve: Mastaa Acheni Unafiki

MCHEKESHAJI maarufu Bongo, Steven Mengere ‘Steve’ amewataka mastaa kuacha unafiki wa kuposti watu mitandaoni baada ya kufariki dunia huku kwenye misiba wakiwa hawaudhurii. Akichezesha taya na Amani, Steve alisema wasanii wamekuwa…

WELLU AMKINGIA KIFUA STEVE

MTU na chake! Mwigizaji mwenye umbo matata kunako Bongo Muvi, Wellu Sengo ‘Matilda’ ambaye amezaa na komediani Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amemkingia kifua mzazi mwenzake huyo kwa kusema haoni tatizo kwa mambo yake anayoyafanya…

STEVE AJIGAMBA KULINDWA NA JB

MUIGIZAJI kutoka Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ usiku wa kuamkia Jumatatu alizua gumzo baada ya kujigamba ukumbini kuwa bodigadi wake wa sasa ni Jacob Steven ‘JB’.   Tukio hilo lilijiri katika Hoteli ya Hyatt…

STEVE: TUUNGANE KUWAOMBEA WENZETU

MWIGIZAJI na komediani maarufu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amewataka wasanii wote kwa jumla bila kujali wa muziki au filamu kuwa pamoja kumuombea msamaha msanii wa Bongo Fleva, Maua Sama ambaye mpaka sasa yupo kituoni kwa kosa…

NIKIFA WANANGU WASOMESHWE NA RAY

CHEKESHAJI maarufu Bongo, Steve Nyerere amesema ingawa watu wamekuwa wakimkashifu kwa roho yake ya kujitolea na kusimamia misiba ya mastaa mbalimbali, lakini hatakoma kusimamia kwani ni kitu anachokifanya kutoka moyoni na kwamba…