×

Tag: Sudan

Mapigano ya Sudan: Mwanafunzi Afariki Akirekebisha Umeme Katika Zahanati ya Darfur

MWANAFUNZI mhandisi wa umeme mwenye umri wa miaka 27 amefariki akijaribu kurekebisha umeme katika hospitali iliyoathiriwa na mapigano katika jimbo...

READ MORE

Mapigano Sudan: Mwigizaji Asia Abdelmajid Auawa Katika Mapigano Khartoum

Kifo cha mwigizaji maarufu, aliyefariki katika mapigano ya ufyatulianaji risasi kaskazini mwa mji wa Khartoum, kimewashitua wakazi wa mji huo...

READ MORE

Wanafunzi Zaidi ya Milioni Mbili Wakosa Kwenda Shule Nchini Sudan

NCHI ya Sudan imekuwa ikipitia majanga mbali mbali kama vile mafuriko, uvamizi wa kivita na njaa kiujumla na hii kupelekea...

READ MORE

Zaidi ya Watu 130 Wafariki Kutokana na Mafuriko Nchini Sudan

ZAIDI ya watu 130 wamefariki dunia na wengine kadhaa wamenusurika kifo kwa sababu ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha mafuriko...

READ MORE

Baba Mwenye Miaka 32 Ajiandikisha Shule ya Msingi na Mwanaye

MWANAUME mmoja raia wa Sudan Kusini mwenye umri wa makamo ameibua gumzo mjini Eldoret baada ya kujiunga na shule moja...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Sudan Ajiuzulu

Waziri Mkuu wa Sudan, Abdallah Hamdok ametangaza kujiuzulu wadhifa huo jana Jumapili Januari 2, 2022. Hamdok ameachia wadhifa huo jana...

READ MORE

Kiongozi wa Mapinduzi Sudan Amfuta Kazi Mwendesha Mashtaka

Kiongozi wa mapinduzi yaliyofanyika wiki iliyopita Sudan, Luteni Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, amemfuta kazi Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali (DPP),...

READ MORE

Sudan Yatangaza Hali ya Hatari

RIPOTI za jeshi kuchukua mamlaka nchini Sudan ni “pigo kubwa ” kwa kipindi cha mpito kuelekea utawala wa kiraia, limesema...

READ MORE

Breaking: Jaribio la Kupindua Sudan Ladhibitiwa

Serikali ya Sudan imeripoti kuwa kumetokea jaribio la kuipindua serikali kijeshi lakini limedhibitiwa na sasa juhudi za kurejesha hali ya...

READ MORE

Simba Yatinga CAF Kuomba Uchunguzi Al Merrikh

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa umepeleka barua Caf kwa ajili ya kuomba uchunguzi kuhusu Klabu ya Al Merrikh ya...

READ MORE

Sudan Kusini Yarudisha Nyuma Majira ya Muda Wake

  NCHI ya Sudan Kusini imerudisha nyuma muda wake kwa saa moja nyuma. Waziri wa Ajira, Bi. Mary Hillary Wani...

READ MORE

Jeshi Lakabiliana na Waasi Sudan

Jeshi la Sudan linayashikilia makao makuu ya kikosi cha usalama wa taifa cha nchi hiyo ambacho awali kilikuwa kitiifu kwa...

READ MORE

Rais wa Zamani wa Sudan Ahukumiwa Jela

Aliyekuwa Rais wa zamani wa Sudan, Omary Al Bashir amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, na Mahakama  ya Mjini Kartoum...

READ MORE

Stars Yatibua Ulaji wa Kocha wa Sudan

ZDRAVKO Logarusic raia wa Crotia ambaye ni Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Sudan hali ni tete kwenye benchi...

READ MORE

Taifa Stars Lazima Ishinde Ugenini

TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, jana imejikuta ikipoteza mchezo wa kwanza wa raundi ya pili ya kufuzu Kombe...

READ MORE

Rais al-Bashir Mahakamani, Akiri Kupokea Rushwa ya USD 90m

Upande wa mashitaka katika kesi ya ufisadi inayomkabili rais wa zamani wa Sudan, Omar al-Bashir, umeiambia mahakama mjini Khartoum leo...

READ MORE

Mgomo wa Kitaifa Sudan Waanza, Wanne Wauawa

VIKOSI vya usalama nchini Sudan vimerusha mabomu ya machozi na kutumia risasi halisi kuwatawanya waandamanaji mjini Khartoum na watu wanne...

READ MORE

OMAR AL-BASHIR: Rais Aliyetema Mate Juu Yakamdondokea Mwenyewe – Video

Tangu Sudan ipate uhuru mwaka 1956 imekuwa ni nchi ya vuta nkuvute, full kunyoana nywele bila maji. Waafrika wanachinjana, wachina...

READ MORE

Jeshi Lililompindua Rais wa Sudan Latoa Maagizo Mazito kwa Benki Kuu

Baraza la Kijeshi linaloongoza serikali ya mpito nchini Sudan limeiamuru Benki Kuu ya nchi hiyo, kuchunguza shughuli zote za uhamishaji...

READ MORE

Jeshi la Sudan Lapwa Siku 15 Kung’oka Ikulu

Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika, limelitaka Jeshi la Sudan kuhakikisha linaachia madaraka kwa utawala wa kiraia...

READ MORE

PAPA FRANCIS ABUSU MIGUU YA KIIR NA MACHAR

KIONGOZI  wa kanisa Katoliki dunian,i Papa Francis, amefanya tendo la unyenyekevu na ambalo halikutarajiwa baada ya kupiga magoti na kubusu...

READ MORE

Utawala wa miaka 30 wa Al Bashir wa Sudan wang’olewa!

  BAADA ya maandamano makubwa ya wiki kadhaa nchini Sudan yaliyokuwa yakimtaka Rais Omar Al Bashir kujiuzulu, habari zisizothibitishwa zinasema...

READ MORE