The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Sumaye

Breaking: Hatimaye Sumaye Arejea CCM

WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye,  leo Februari. 10, 2020, ametangaza kurudi katika Chama Cha Mapinduzi (CCM). Desemba 4, 2019, Sumaye alitangaza kuachana na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akidai kuwa hakuna demokrasia…

Zitto Kabwe Amjibu Sumaye

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe,  amesema hawajafanya mazungumzo yoyote na waziri mkuu mstaafu, Frederick Sumaye,  ambaye leo mchana Jumatano Desemba 4, 2019 ametangaza kuwa si mwanachama wa Chadema. Zitto…

Sumaye Kugombea Uenyekiti Chadema

Frederick Sumaye. WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, amekubali ombi la viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani, waliomchukulia fomu ya kuwania nafasi ya uenyekiti wa chama hicho kanda hiyo katika…