Taifa Stars: Tupo Tayari Kuwakabili Morocco leo saa 2:00 usiku
KOCHA msaidizi wa timu ya taifa ya Tanzania, Hemed Morocco amesema kuwa wachezaji wapo tayari kupambana na kupata ushindi kwenye mchezo wa kwanza wa Kombe la Mataifa Afrika ‘AFCON’ dhidi ya timu ya taifa ya Morocco leo saa 2:00 usiku.…
