Tambwe: Kwa Yanga Hii Ningefunga Sana
KINARA wa mabao kwenye ligi ya Championship, Amis Tambwe amesema kuwa kwa Yanga hii ya sasa ilivyokuwa tamu yeye angefunga mabao anavyotaka.
Tambwe ambaye alicheza Yanga kwa mafanikio makubwa kwa misimu kadhaa nyuma alisema…
