Wazee wa Kwamsisi Wagoma: Bila Tambiko Barabara Haijengwi
WAZEE wa Kijiji cha Kwamsisi wilayani Handeni mkoani Tanga wamezuia ujenzi wa barabara ya lami ya Afrika Mashariki inayopita katika kijiji hicho mpaka watakapopatiwa shilingi milioni 15 kwa madai wanataka kutambikia barabara hiyo kabla…
