×

Tag: Tshishimbi

Tshishimbi Achekelea Kurudi Bongo

NAHODHA wa zamani wa Yanga, raia wa DR Congo, Papy Tshishimbi, amefunguka kuwa anafurahi kurudi Tanzania na kucheza soka kama...

READ MORE

Tshishimbi Aomba Kurejea Yanga

TAARIFA za ndani ya Klabu ya Yanga, zimeweka wazi kuwa, nahodha wa zamani wa timu hiyo, Papy Kabamba Tshishimbi, ameomba...

READ MORE

Baada ya Morrison…Tshishimbi Naye Simba, Apewa Mkataba Kufuru

BAADA ya kumalizana na winga wa Yanga, Mghana, Benard Morrison uongozi wa Simba umerudi kwa kasi kwa aliyekuwa nahodha na kiungo...

READ MORE

Nunua na soma Gazeti la Championi na IJumaa kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la IJumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani ya nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Tshishimbi Amaliza Mkataba Yanga, Anasepa Simba? – Video

CAMERA za Global TV zimemnasa msakata kabumbu wa Klabu ya Yanga, Papy Tshishimbi, na kuzungumza nae kuhusiana na ishu mbalimbali...

READ MORE

Tshishimbi Awachimba Mkwara Simba SC

  NAHODHA na kiungo wa Yanga, Mkongomani Papy Tshishimbi, amewachimba mkwara wapinzani wao Simba kwa kuwaambia wasitarajie kupata urahisi wakati...

READ MORE

Tshishimbi, Yondani Wafanya Kikao Kizito Yanga

NAHODHA Mkuu wa Yanga, Mkongomani, Papy Tshishimbi, amepanga kukutana na mabeki wa timu hiyo kwa ajili ya kufanyia kazi changamoto...

READ MORE

Zahera ambadilishia majukumu Tshishimbi

KATIKA kukiimarisha kikosi chake, Kocha Mkuu wa Yanga, Mkongomani, Mwinyi Zahera, amembadilishia majukumu kiungo wake Papy Tshishimbi. Kiungo huyo alirejea...

READ MORE

Pluijm awachenjia Niyonzima na Tshishimbi

KOCHA Mkuu wa Azam FC , Hans Pluijm hana mpango wa kuwasajili viungo, Haruna Niyonzima wa Simba na Papy Kabamba...

READ MORE

Tshishimbi arejea mzigoni Yanga

shimbNYOTA Mkongo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi hatimaye amerejea rasmi ndani ya kikosi hicho juzi Jumanne na kuanza mazoezi baada...

READ MORE

Zahera: Nashusha Mashine Yanga

  NYIE si mnasema kuwa kiungo Mkongoman, Papy Kabamba Tshishimbi anajua? Sasa Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amewaambia viongozi...

READ MORE

YONDANI AZUIA ‘SUB’ YA TSHISHIMBI

PRESHA ya mchezo inaweza kukufanya ukafanya maamuzi ambayo ni magumu, ndivyo ilivyokuwa baada ya nahodha wa Yanga, Kelvin Yondani kuonekana...

READ MORE

Tshishimbi Akodiwa Gari Maalum, Apelekwa Moro

KIUNGO wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi, jana jioni alikodiwa gari maalum ambalo lilimpeleka mkoani Morogoro ambapo kikosi kizima cha timu...

READ MORE

Yanga Yaiwekea Kambi ya Nguvu Azam

  KIKOSI cha Yanga leo kimeendelea kujifua kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam ikiwa ni moja ya hatua...

READ MORE

Tshishimbi Awapandisha Mzuka Yanga SC

BAADA ya kuondolewa kwenye hatua ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi, kiungo mkabaji wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi, amewapandisha...

READ MORE

Tshishimbi Ampoteza Kamusoko Yanga

KIUNGO wa Yanga, Papy Tshishimbi, juzi Jumamosi alifanikiwa kuziba vyema pengo la kiungo wa timu hiyo, Mzimbabwe, Thaban Kamusoko katika...

READ MORE

Tshishimbi Akinukisha, Aliamsha Dude Jingine

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi raia wa DR Congo, jana Alhamisi alikuwa gumzo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii...

READ MORE

TSHISHIMBI ALIKOROGA YANGA KWA KADI ZA NJANO

BAADA ya Yanga kupata ushindi mwembamba wa 1-0 dhidi ya Ndanda FC kutoka Mtwara katika mchezo wa Ligi Kuu ya...

READ MORE

Kigogo wa Tshishimbi Atua Mazoezini Yanga, Afanya Kikao cha Siri

KATIKA kuhakikisha kikosi cha Yanga kinamaliza tatizo la beki wa kati, mmoja wa wapenzi wa timu hiyo, Shabani Hussein ‘Papaa...

READ MORE

TSHISHIMBI APEWA GARI LA SH MIL 100 YANGA

BAADA ya kelele za kumsifu kuwa nyingi, Yanga imempa kiungo wake Papy Kabamba Tshishimbi gari la kutumia lenye thamani ya...

READ MORE

Tshishimbi Atua Pemba, Yanga Kamili Gado

MZIKI wa Yanga sasa upo kamili gado kwani kiungo mkabaji Papy Kabamba Tshishimbi ametua jijini Dar es Salaam kisha jana...

READ MORE

Mkwasa: Mawasiliano na Tshishimbi Yamepotea

WAKATI waandishi wakijaa kwenye Uwanja wa ndege wa ere, kumsubiri kiungo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi, Katibu Mkuu wa timu...

READ MORE