The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Uwoya

Uwoya afyatuka kuitwa jini

IRENE Pancras Uwoya au Mama Krish ni mwigizaji mkubwa wa Bongo Movies ambaye amefyatuka kwa ukali akisema kuwa, hakuna kitu asichokipenda kama jina jipya alilopewa na baadhi ya watu mitandaoni la Jini. Uwoya anasema kuwa,…

Uwoya: Nina Miaka 33 tu

KAMA ilivyo kwa baadhi ya mastaa wengine wa kike Bongo kusababisha utata juu ya umri wao, mwigizaji Irene Uwoya naye amepita mulemule baada ya kutamka; “Nina umri wa miaka 33 tu…” Uwoya ameyasema hayo wikiendi iliyopita alipokuwa…

Walezi wa Wana Wajengewe Sanamu

MUZIKI wa Bongo Fleva unatajwa kuongoza kwa kuwa na mashabiki wengi kwa sasa nchini. Kupitia fani hii, vijana wengi wamejiajiri na kuendesha maisha yao. Ukiachana na watoto wa kiume ambao wengi wao wanaonekana kuukubali muziki huo,…

Uwoya Anawakera Ile Mbaya

IRENE Uwoya; wengine humuita Ophrah kwa sababu ya Filamu ya Ophrah aliyotisha mno ndani yake akiwa na mastaa wa Bongo Movies, marehemu Kanumba na Ray. Irene amekuwa akila bata kiasi cha kuwakera ile mbaya baadhi ya watu wasiopenda…

Bata la Uwoya Kigogo Kenya Atajwa

MWANAMAMA wa Bongo Movies, Irene Pancras Uwoya au Mama Krish anakuambia ni mwendo wa bata juu ya bata kwani baada ya kufanya kufuru za kufa mtu kule Dubai, sasa amehamishia bata visiwani Zanzibar, lakini jeuri hiyo inatajwa kutoka kwa…

Mchawi wa Uwoya Huyu Hapa

SIKU za hivi karibuni Irene Uwoya amekuwa pedeshee wa kike, anamwaga mawe ile mbaya. Wakati wa Komunio ya mwanaye, Irene alimtunza mama yake mzazi minoti hadi ardhi ikageuka wekundu wa msimbazi na Jana kwenye harusi ya Dida pale Mlimani…

Hemedy PHD ‘Kumuoa’ Uwoya

VUTA picha! Mtoto mzuri, Irene Uwoya anaolewa na handsome boy anayefanya Bongo Fleva ambaye pia ni muigizaji Hemed Suleiman ‘Hemedy PHD’ wanaoana nini kitatokea? Itakuwa furaha na nusu si ndio...! Basi bwana, Hemedy PHD yeye kama…

Uwoya: Ni Kweli Mimi ni Jini

STAA mwenye mvuto wa kipekee kunako Bongo Movies, Irene Pancras Uwoya, amesema kuwa, watu wengi wanamfananisha na jini kutokana na uzuri alionao, lakini ukweli ni kwamba, kuna wakati mwingine akijitengeneza sura yake, anaonekana ni jini…

Uwoya Vyuma Vimekaza

VYUMA vimekaza! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mwanamama na staa wa fi lamu za Kibongo, Irene Uwoya, kufunga baa yake ya Last Minute iliyopo Sinza, Dar, huku sababu zikiwa hazijulikani. Baa hiyo ambayo mbali na kazi yake…

Muonekano wa Uwoya Washtua

MUONEKANO wa msanii wa filamu za Kibongo, Irene Uwoya kwenye picha inayosambaa kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram, umewashtua wengi kwani inamuonyesha akiwa mwenye umbo tofauti na picha zote ambazo hutupia kila siku. …

Hili Ndo Kosa la Uwoya

Mwanadashosti Mwenye mvuto wake kuna Bongo Movies, Irene Pancras Uwoya, kwa mara ya kwanza amefunguka kosa kubwa alilolifanya kwenye maisha yake. Uwoya aliliambia gazeti alipendalo la Ijumaa kuwa, huko nyuma alikuwa akimuamini…

Kayumba Amfungukia Uwoya

BAADA ya kutamba na Ngoma ya Wasiwasi, msanii wa Bongo Fleva ambaye pia ni mshindi wa Bongo Star Search 2015, Kayumba Juma ‘Kayumba’ amekuja na ngoma mpya ambayo ndani yake amemuimba staa wa Filamu Bongo, Irene Uwoya. Akichonga…