Majaliwa: Vifo Vitokanavyo na Ukimwi Vimepungua
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema uimarishaji wa huduma za tiba yakiwemo matumizi ya dawa za kufubaza virusi vya ukimwi (ARVs) umechangia kupunguza vifo vitokanavyo na ukimwi kutoka vifo 85,000 mwaka 2001 hadi kufikia vifo 21,529…
