Wastara Asimulia Magufuli Alivyomuokoa
MSANII wa sinema za Kibongo, Wastara Juma, amesimulia jinsi aliyekuwa Rais wa Jahmuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dk John Pombe Magufuli alivyogusa maisha ya watu wengi ikiwemo kuokoa maisha yake.
Akizungumza na RISASI…
