Wema Sepetu: Naumia Sana Nikiona Watoto wa Uwoya, Wolper, Natamani Mtoto
Wema Isaac Sepetu; ni staa ambaye kila kukicha manyota yanazidi kung’aa, lakini bado akiwa na machungu tele moyoni baada ya kutafuta mtoto kwa muda mrefu bila mafanikio.
Katika mahojiano maalum na Gazeti la IJUMAA, Wema…
