The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

wizkid

Davido & Wizkid Wamaliza Bifu

WASANII wakubwa Barani Afrika na duniani kutokea pande za Nigeria, Ayodeji Ibrahim Balogun 'Wizkid na David Adedeji Adeleke 'Davido' wamemaliza tofauti zao na sasa hivi wakikutana ni amani. Hii imetokea jana baada ya wakubwa hao…

Wizkid Akomba tuzo 3 Afrima, Diamond Patupu

SUPASTAA wa Afropop, Ayodeji Ibrahim Balogun maarufu kama Wizkid kutoka nchini Nigeria, usiku wa kuamkia leo Novemba 21, 2021, amefanikiwa kushinda tuzo tatu (3) za AFRIMA kwa mkupuo. Wizkid alitajwa kwenye kipengele cha Msanii Bora…

Wizkid Ana Nyodo AIDE

HEBU fikiria ile Tuzo ya Msanii Bora Afrika ya Tuzo za MTV EMA 2021 aliyotwaa Jumapili iliyopita kule Budapest nchini Hungary barani Ulaya, ingetwaliwa na msanii mwingine wa Afrika hasa wa Bongo ingekuwaje? Lakini unaambiwa…

WIZ KID AZICHAPA KLABU

MWANAMUZIKI kutoka Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’ anayetamba kwa sasa na Ngoma ya Medicine, amezichapa klabu na shabiki ambaye alikwenda kupiga naye picha bila ridhaa yake jambo ambalo Wizkid alionekana kutolifurahia. …

Huddah akiri kubanjuka na Wizkid

 MODO na mshiriki wa Shindano la Big Brother Africa Season 8, Huddah Monroe ameweka wazi kuwa alishawahi kubanjuka kimapenzi na staa wa muziki kutoka Nigeria, Ayo Balogun ‘Wizkid’. Huddah Huddah aliyasema hayo baada ya kuachia kipande cha…