Zari The Boss Lady Aweka Historia Kenya, Alipwa Tsh Milioni 50 Kwa Siku Tatu
Ni wakati wa kutengeneza mkwanja tu kwa mwanamama Zari The Boss Lady baada ya kulipwa kiasi cha Ksh.2.5 milioni (Tsh milioni 49.7 ambazo ni takribani Tsh milioni 50) kwa siku tatu kutokana na kazi aliyoifanya hivi karibuni nhini Kenya,…
