TAHADHARI: Upepo mkali na mawimbi makubwa vinatarajiwa katika maeneo ya ukanda wa Ziwa Victoria na yale ya Pwani kuanzia kesho Jumatatu Agosti 29 alfajiri hadi Agosti 30 mchana. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania imeeleza.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.