The House of Favourite Newspapers

Tanzia: Mtangazaji wa TBC, Elisha Elia Afariki Dunia

0

Mtangazaji wa Shirika la Habari Tanzania (TBC), ELISHA ELIA MWAKAGALI amefariki Dunia hii leo Jumamosi, Oktoba 24, 2020 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokua amelazwa kwa matibabu.

Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Dkt. Ayub Rioba amethibitisha kutokea kwa msiba huo.

 

View this post on Instagram

 

A post shared by Global Publishers (@globalpublishers) on

Leave A Reply