Taswira za 40 ya mtoto wa Diamond
Maandalizi yakiwa yamepamba moto nyumbani kwa Diamond, Madale jijini Dar.
Wanafunzi wa Madrasa nao wapo kwa ajili ya 40 ya Tiffah.
Eneo itakapofanyika 40 ya mtoto wa Diamond, Princes Tiffah.
Diamond na Zari wakifanya mazoezi katika chumba maalum nyumbani kwao, Madale.
Diamond akiandaa msosi kwa ajili ya Zari.
Mama mzazi wa Diamond Platnumz, Sanura Kassim, akirembwa.
Diamond na Zari wakiwa na baadhi ya ndugu.
Diamond akiwa na Zarinah Hassan.
MWANAMUZIKI nguli wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mpenzi wake Zarinah Hassan ‘The Boss Lady’ leo wanasherehekea siku 40 tangu kuzaliwa kwa binti yao Princess Tiffah.
Sherehe hizo zinafanyika nyumbani kwa Diamond eneo la Madale, Tegeta jijini Dar es Salaam.
(Picha na Musa Mateja kupitia Global Whatsapp 0753 715 779)