“BIBI alikuwa anaumwa sana, kwa bahati mbaya akafariki. Nilikuwa nikiishi na baba na mama yangu pamoja na bibi pamoja na ndugu wengine. “Alipofariki, watu wote walinigeukia mimi, waliamini mimi ni mchawi…..
“Wazazi wangu waliamua kunitoa ili niuawe, wakati huo tayari wananchi wenye hasira walikuwa wamejaa pale nyumbani kwetu. Walisema nimwagiwe petrol nichomw moto mpka nife….” Binti Therese amefunguka A-Z mkasa wa kumla nyama bibi yake.
Kuisoma Storihi hii kamili Download Global App kisha ingia kwenye Menu ya MAGAZETI, utaisoma Full.
Install #GlobalPublishersApp
Android: ==> bit.ly/2AAQe1d
iOS: ==>apple.co/2Assf4M
Comments are closed.