Burudani Tigo Fiesta 2019 _SaiziYako Muleba ,burudani mwanzo mwisho Last updated Oct 7, 2019 Share Msanii wa Bongo fleva Maua Sama, akitoa burudani kwenye jukwaa la Tigo Fiesta mjini Muleba mkoani Kagera. Bill Nas na Nandy wakitumbuiza kwenye jukwaa la Tigo Fiesta Msanii wa Bongo fleva Dogo Janja,akitoa burudani Baadhi ya mashabiki wakionyesha shangwe la levels za Saizi Yako kwenye tamasha la Tigo Fiesta mjini Muleba mkoani Kagera Saida Karoli na Chege Chigunda, wakitumbuiza kwenye jukwaa la Tigo Fiesta mjini Muleba mkoani Kagera. burudani Share
Comments are closed.