The House of Favourite Newspapers

Tigo Ilivyoandaa Iftar Wilayani Tunduru Kwaajili ya Wateja Wake

Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Julius Mtatiro akiwasalimia baadhi ya wageni waalikwa kwenye iftar hiyo.
Muda ulipowadia.
Picha ya pamoja.

Samwel Chanai-Meneja Mauzo wa Tigo Mkoa wa Iringa akiteta jambo na Mwangaza Matotola-Mkuu wa kitengo cha huduma kwa wateja (Tigo) katika hafla ya iftar iliyoandaliwa na Tigo, Wilayani Tunduru kwaajili ya wateja wake, kulia ni Laverty Khana-Meneja wa Tigo kanda ya Kusini.