The House of Favourite Newspapers

TRA Yatangaza Matokeo ya Usaili wa Kuandika 2025, Yapo Hapa

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inapenda kuwataarifa wasailiwa wote waliofanya usaili wa kuandika Machi 30, 2025 katika vituo tisa vilivyokuwa vimeandaliwa hapa nchini kwamba matokeo ya usaili huo yamekamilika na yanapatikana hapa chini

RESULTS FOR WRITTEN INTERVIEW