The House of Favourite Newspapers

Tsunami yaikumba New South Wales, Australia

0

3264Mawimbi ya bahari yakikutana.4928Wingu zito ndani ya Uwanja wa Allianz3500Ndege ya Qantas Boeing 737-800 ikisafiri juu ya wingu zito kuelekea New South Wales huku mvua kubwa ikinyesha.3500 (2)Watalii wakitazama mawimbi hayo.3500 (1)Usafiri wa boti ukisuasua
3000Giza likitanda kwenye uwanja wa mpira wa Allianz kabla ya mechi ya raundi ya tano ya A-League kati ya Sydney FC na Brisbane Roar jana.844Mawingu ya Tsunami yakipita kwenye nyumba za wakazi wa Sydney
601Mawingu ya Tsunami yakipita kwenye nyumba za wakazi wa Sydney
599Mawingu ya Tsunami yakipita ufukwe wa Rose Bay541Tsunami lilivyotanda540Mawingu ya Tsunami yakipita Ufukwe wa Coogee539

Ufukwe wa Bondi

New South Wales

Tsunami la aina yake limeikumba pwani ya New South Wales huko Australia jana kuanzia majira ya mchana hadi jioni.

Wataalam wa hali ya hewa nchini humo wamesema kuwa, Tsunami la aina  hiyo (lililotokea jana) wenyewe wakiliita ‘Arcus Tsunami’ husababishwa na mgongano wa kingo za mawingu na kupelekea kuzalishwa kwa nishati mwendo yenye nguvu na kasi kubwa ambayo.

Nishati hiyo ikisafiri kutoka eneo moja kwenda jingine husababisha madhara makubwa, kuleteleza uharibifu wa vitu, mazingira, kubadili kasi na uelekeo wa mkondo wa bahari na upepo.

Aidha kutokana na Tsunami hilo, hakuna vifo wala majeruhi walioripotiwa mpaka sasa.

Leave A Reply